Habari

Jikumbushe kuhusu Dhana potofu/Mazoea

Dhana potofu ni kitu kisichofaa, lakini kimezoeleka na watu wengi: dhana potofu ipo katika mabara yote; bara la Ulaya na Marekani dhidi ya bara la Afrika, na yapo katika bara la Afrika dhidi ya mabara mengine. Hapa chini, tutatoa mifano michache; mazoea yamejengeka katika fikra za watu tangu karne zilizopita: Kwa vyovyote tunaamini kwamba dhana potofu ni kitu cha ajabu …

Tanzania: taarifa ya Mulamula, uraia wa pacha

Chanzo: The Citizen (Dar es Salaam) Na Rosemary Mirondo Imechapwa : 6/Aug/2021 Dar es Salaam. Swala la uraia Pacha limebaki kuwa ni suala lililosahaulika kwa Tanzania, ambapo mamlaka imesimamia kuwa ni kitu kisichowezekana/ruhusiwa katika nchi. Katika mahojiano na Mwananchi Communication Limited (MCL) jana, waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki Liberata Mulamula alitoa mwanga kwa kusema anamatumaini …

Miaka 100 ya kuzaliwa: maadhimisho yataisha 2023

26th April 2022 imeandaliwa na Redazione Nigrizia. Tanzania inaadhimisha miaka 100 tangu kuzaliwa kwa Julius Nyerere. “Mwalimu Julius Nyerere (13th April 1922- 14th October 1999) anatambuliwa na watanzania wote kama baba wa taifa, ambaye waliadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa kwake April 13. “ nawaalika watanzania wote kwa pamoja kusherekea siku hii iliyoandaliwa na waziri wa malia sili na utalii, Pindi …

Mtoto na ufadhili: kwanini tumeamua kusaidia jamii ya watoto na si mmoja mmoja

KISEDET walipendekeza kusaidia jamii kwa ujumla, na siyo mtoto mmoja mmoja. Yote hayo yalianza miaka kumi iliyopita wakati mradi wa watoto wa mitaani ulipoanza katika makao makuu ya Tanzania, Dodoma. Mchakato wa kutekeleza, mikutano, makao, na uboreshaji wa ufanisi na muda (kila mtoto anayeishi na kufanya kazi mitaani, ana historia na mpango wake binafsi) kwa hiyo, kupitia uzoefu tumejifunza kwamba …

Taarifa wa mradi Kizazi Kipya

Mradi ulianza mwaka 2017 mwezi wa tano na kufungwa mwaka 2020 mwezi wa tisa, ambapo mradi ulikuwa unashughulikia Watoto na vijana wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Yafuatayo ni mafanikio ya mradi huo. No Viashiria (Indicators) Mafanikio 1 Utambuzi wa Watoto na vijana wanaoishi na kufanya kazi mtaani 1292 (799 me, 493ke) 2 Kuwapatia Watoto makao ya muda mfupi 231 (165 …

Mzee Nkopano

Nilifika Tanzania kwa mara ya kwanza mwaka 1996 na nilikutana na mtu huyu mwenye haiba kubwa ambaye alikuwa mtemi wa kijiji. Mapema tu niligundua kwamba hakuwa tu mkuu wa kijiji, bali pia kiongozi mwenye haiba ya kipekee katika jamii nzima. Sio vijana tu waliokuwa wakimheshimu. Nilichukuliwa chini ya uangalizi wake, na wakati mwingine najiuliza kama Silvia Romano (mtu wa kujitolea …