Shukrani kwa fedha zilizokusanywa katika tukio hilo, ambazo zitawezesha kuhitimisha kwa uhakika ujenzi na samani za nyumba ya wageni, jengo la kazi kule Chigongwe.
Nyumba ya wageni Chigongwe

Shukrani kwa fedha zilizokusanywa katika tukio hilo, ambazo zitawezesha kuhitimisha kwa uhakika ujenzi na samani za nyumba ya wageni, jengo la kazi kule Chigongwe.
Shirika lisilo la kiserikali la KISEDET limepokea cheti cha shukrani kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Italia.
“Mama njoo, tule pamoja, nimeshaweka vijiko viwili”. Ni njia ya kuelewa kama wanaweza kuniamini au la, kwa kukubali chakula chao ninawaambia ninawakubali kama walivyo.
Tanzania yapiga marufuku ‘Shajala ya mtoto Wimpy ‘ kwa kuwa ”haina maadili” Dar es Salaam. ‘Maadili kinzani’ ni lugha inayotumika kuelezea mfululizo wa vitabu vya watoto wa Marekani na vyombo vya habari, “Shajala ya mtoto Wimpy” ambayo serikali ya Tanzania, chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imekataza kutumika nchini. Matumizi ya vitabu 16 kutoka mfululizo wa vitabu vya …
Kulingana na majanga ya COVID, wenzetu wa Gruppo Tanzania, walishindwa kuja kututembelea kwa miaka za hivi karibuni. Mwaka huu waliweza kufika kututembelea M/kiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mauro del Pino, na makamu wake Giulia De Paolis na kukutana na viongozi pamoja na wafanyakazi wengine wa KISEDET, na walijadiliana pamoja mambo mbalimbali, hasa kuhusu miradi ambayo inafadhiliwa na Shirika dada la …
Tangu tulipoanzisha Mradi huu wa Chigongwe family, Shirika limeanzisha miradi midogo midogo ya kilimo na mifugo ili watoto wapate chakula bora chenye virutumisho muhimu kwa afya bora.
Hapa tuko tena, tukisimulia mauaji ya kikatili ya watoto wawili wa mitaani. Mara ya mwisho tulikuwa tumeanza kwa kutumia sentensi ile ile: “hapa tuko tena…”Tunapaswa kuandika sentensi hii kwa muda gani? Ni lini “watu wasiojulikana” au umati uliokasirika utaacha kuua watoto wa mitaani?Toma mwenye umri wa miaka 18, aliuawa jijini Dar es Salaam mwezi mmoja uliopita. Mwarabu mwenye umri wa …
Ally Mussa ana umri wa miaka 24, anaishi mtaa wa Chadulu, kata ya Tambukareli, Jijini Dodoma. Kijana huyo alikaa kwenye Makao ya watoto Shukurani kuanzia mwaka 2011 hadi 2018 Alipokuwa akiishi katika Makao hayo alijiunga na shule ya msingi Chamwino kuanzia mwaka 2011 hadi 2015. Baada ya hapo alijiunga na Shule ya Ufundi pamoja na Sekondari St. Gabriel kuanzia mwaka …
INFO Cooperation Jumuia ya Italia kwa ajili ya ushirikiano wa kimataifa 17 Oktoba 2022 Kwa hakika si mara ya kwanza kwa mada hii kuongelewa na wafanyakazi katika sekta mbalimbali hasa wale wanaoshughulikia kutafuta fedha katika ulimwengu wa wafadhili. Miongoni mwa wachangishaji wa fedha hizo zipo dhana tofauti za kifikra na kwa miaka mingi kumekuwa na mijadala kadhaa iliyopelekea tafakari kubwa …