Tanzania yapiga marufuku ‘Shajala ya mtoto Wimpy ‘ kwa kuwa ”haina maadili” Dar es Salaam. ‘Maadili kinzani’ ni lugha inayotumika kuelezea mfululizo wa vitabu vya watoto wa Marekani na vyombo vya habari, “Shajala ya mtoto Wimpy” ambayo serikali ya Tanzania, chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imekataza kutumika nchini. Matumizi ya vitabu 16 kutoka mfululizo wa vitabu vya …
Vitabu vya Shajala ya mtoto Wimpy vimepigwa marufuku
