Lugha ya Kiswahi itadumu? Nilipofika kwa mara ya kwanza Tanzania, wanakijiji wengi na wakazi walikuwa hawawezi kuzungumza lugha ya taifa Kiswahili ila kigogo tu ambayo inazungumzwa katika mkoa wa Dodoma. Miaka 25 imepita sasa na mambo yamebadilika, watanzania wengi wanazungumza kiingereza au wanachanganya na Kiswahili. Swali ni kwanini? Inaonekana kama ni suala la kujidai. Hapa watoto wanasoma shule ya msingi …
Lugha ya Kiswahili
