Imeshapita miezi minne, tangu Mradi wa UCS ulianza. Mradi unalenga kuwaunganisha watoto na familia zao. Hapa chini UCS wametoa mawazo yao kuhusu uwepo wao katika kipindi hiki.
UCS 2023/24: miezi minne tangu walipoingia Tanzania

Imeshapita miezi minne, tangu Mradi wa UCS ulianza. Mradi unalenga kuwaunganisha watoto na familia zao. Hapa chini UCS wametoa mawazo yao kuhusu uwepo wao katika kipindi hiki.
Safari mpya ya SCU kuanza!
Mwezi mmoja uliopita, kikundi cha kwanza cha UCS wamerudi Italia. Walikaa Tanzania miezi 11. Hapa chini ni maoni yao.
Wanaojitolea? Watarajali? Waajiliwa?, hakuna jina linalofaa zaidi ya “watumishi wa jamii” Inawezekana ulishawajua wafanyakazi wa KISEDET, watu waaminifu ambao wameshirikiana na asasi kwa miaka mingi, kufanya kazi kwa niaba ya Serikali. Wanaumoja wengine ni baadhi kati ya watoto tuliowasaidia miaka ya nyuma na sasa wako tayari kuchangia kusaidia watoto wanaishi katika mazingira magumu kama walivvokuwa wao. “siamini katika misaada, ila …